Picha: Gari lazama baharini, Kivukoni Dar, lilikuwa na abiria 2

Gari moja limezama baharini eneo la Kivukoni lilipokuwa limeegeshwa likisubiria kivuko.cfbece29-fb5f-4a49-81ee-8080f6c9682fInasemekena kuwa gari hilo lilikuwa na abiria wawili wakati likizama. Hadi hivi sasa mtu mmoja (Mwanaume) amekwishapatikana kwani wakati gari linazama aliruka nje ya gari.0eb582f5-55e1-4ca1-a35f-9a839ed6f11eHarakati za Waokoaji kutafuta mwili wa pili (mwanamke) zinaendelea na inahisiwa yupo ndani ya gari. Hadi sasa gari halijaonekana.294dffe1-6f8d-44b4-a3d1-50436bbd7c8d5167448b-6cef-49d2-ae8f-1698fa2b7e24

Maoni