Muimbaji wa ‘Zogo’, Malaika anaamini kuwa Tanzania imebarikiwa mandhari ya kuvutia kufanya video kiasi ambacho si lazima wasanii wapigane vikumbo South.
“Sioni sababu za kwenda nje ya nchi wakati katika hii nchi yangu kuna location nyingi tu na sijazimaliza,” alisema.
“Bado kuna madirector wengi wenye vipaji nahitaji kufanya nao kazi, yaani kwa sasa bado sijafikiria kwenda kufanya video nje,” alisisitiza.
Jiunge na muzik4life.blogspot.com sasa
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga
Maoni
Chapisha Maoni