Bongo5 imekuandalia video kumi za wasanii wa Tanzania zilizoangaliwa zaidi katika channel za youtube katika kipindi cha miezi 3 ya kwanza ya mwaka 2016. Ni video zilizotoka kuanzia Januari 1 hadi Machi 31.
Katika list hii, AY anaongoza kupiti video yake ya wimbo, Zigo Remix, aliyomshirikisha Diamond. Harmonize anashika nafasi ya pili kupitia video yake ya wimbo,’Bado’ aliyomshirisha Diamond. Pia Diamond anashika nafasi ya tatu kupitia video yake ya wimbo, Make Me Sing, aliyoshirikiana na AKA, Ali Kiba ameingia na video mbili, moja ni ya wimbo Unconditionally Bae, aliyoshirikiana na Sauti Sol, na nyingine ni video ya wimbo wake, Lupela.
AY feat. Diamond Platnumz – Zigo Remix
5,768,007 viewsHarmonize ft Diamond – BADO
3,089,644 viewsAKA & Diamond Platnumz – Make Me Sing
3,033,900 viewsSauti Sol and Alikiba – Unconditionally Bae
1,448,382Alikiba – Lupela
1,485,336 views
Navy Kenzo – Kamatia
754,544 viewsVanessa Mdee – Niroge
483,626 viewsMwanaFA – Asanteni kwa Kuja
329,536 views
Dogo Janja – My Life
370,705 views
Fid Q ft Taz – WALK IT OFF
198,125 views
Msami – Mabawa
122,916 views
AY feat. Diamond Platnumz – Zigo Remix
5,768,007 viewsHarmonize ft Diamond – BADO
3,089,644 viewsAKA & Diamond Platnumz – Make Me Sing
3,033,900 viewsSauti Sol and Alikiba – Unconditionally Bae
1,448,382Alikiba – Lupela
1,485,336 views
Navy Kenzo – Kamatia
754,544 viewsVanessa Mdee – Niroge
483,626 viewsMwanaFA – Asanteni kwa Kuja
329,536 views
Dogo Janja – My Life
370,705 views
Fid Q ft Taz – WALK IT OFF
198,125 views
Msami – Mabawa
122,916 views
Maoni
Chapisha Maoni